14 naye awe amemshtaki mwanamke huyo kuwa mwenye matendo yenye sifa mbaya na kuleta jina baya+ juu yake, naye amesema, ‘Mwanamke huyu nimemchukua, nikamkaribia, nami sikupata uthibitisho wa ubikira ndani yake’;+
17 Na tazama, anamshtaki juu ya matendo yenye sifa mbaya,+ na kusema: “Nimepata kujua kwamba binti yako hana uthibitisho wa ubikira.”+ Sasa huu ndio uthibitisho wa ubikira wa binti yangu.’ Nao watatandaza nguo hiyo ya kujitanda mbele ya wanaume wazee wa jiji hilo.