Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, miezi mitatu hivi baadaye Yuda akaambiwa: “Tamari binti-mkwe wako amefanya ukahaba,+ na tazama ana mimba+ pia kutokana na ukahaba wake.” Ndipo Yuda akasema: “Mtoeni nje ateketezwe.”+

  • Kumbukumbu la Torati 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 watamtoa nje msichana huyo kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, nao watu wa jiji lake watampiga kwa mawe, naye lazima afe, kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha+ katika Israeli kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katikati yako.+

  • Zaburi 141:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Usiuelekeze moyo wangu kwenye ubaya wowote,+

      Ili kuendeleza matendo yenye sifa mbaya katika uovu+

      Pamoja na watu wanaofanya mambo yenye kuumiza,+

      Ili nisipate kujilisha vyakula vyao vitamu.+

  • Hosea 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwanzo wa neno la Yehova kupitia Hosea, Yehova alimwambia Hosea: “Nenda,+ jichukulie mke wa uasherati na watoto wa uasherati, kwa maana kwa sababu ya uasherati hakika nchi imegeuka isimfuate Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki