Danieli 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Na moyo wa hao wafalme wawili utakuwa na mwelekeo wa kufanya yaliyo mabaya, nao wataendelea kusema+ uwongo kwenye meza moja.+ Lakini hakuna litakalofanikiwa,+ kwa maana mwisho bado ni kwa wakati uliowekwa.+
27 “Na moyo wa hao wafalme wawili utakuwa na mwelekeo wa kufanya yaliyo mabaya, nao wataendelea kusema+ uwongo kwenye meza moja.+ Lakini hakuna litakalofanikiwa,+ kwa maana mwisho bado ni kwa wakati uliowekwa.+