Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Kutoka 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Usieneze habari isiyo ya kweli.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kuwa shahidi anayepanga jeuri.+ Methali 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kifo na uzima viko katika nguvu za ulimi,+ naye anayeupenda atakula matunda yake.+