Mambo ya Walawi 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ Kumbukumbu la Torati 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Mwanamume yeyote aliyefanywa towashi+ kwa kuvunjwa mapumbu+ au kwa kukatwa uume wake asiingie katika kutaniko la Yehova.
20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+
23 “Mwanamume yeyote aliyefanywa towashi+ kwa kuvunjwa mapumbu+ au kwa kukatwa uume wake asiingie katika kutaniko la Yehova.