Mwanzo 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na Wahori+ katika mlima wao wa Seiri,+ mpaka El-parani,+ ulioko nyikani. Mwanzo 36:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hawa ndio wana wa Seiri, yule Mhori, wakaaji wa nchi hiyo:+ Lotani na Shobali na Sibeoni na Ana+ Kumbukumbu la Torati 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao Wahori+ walikaa Seiri nyakati za kale, na wana wa Esau+ wakawafukuza na kuwaangamiza kutoka mbele yao, wakakaa mahali pao,+ kama vile Israeli atakavyoitendea nchi iliyo miliki yake, ambayo hakika Yehova atawapa.)
12 Nao Wahori+ walikaa Seiri nyakati za kale, na wana wa Esau+ wakawafukuza na kuwaangamiza kutoka mbele yao, wakakaa mahali pao,+ kama vile Israeli atakavyoitendea nchi iliyo miliki yake, ambayo hakika Yehova atawapa.)