Yoshua 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+ 1 Mambo ya Nyakati 6:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Na baadhi ya familia za wana wa Kohathi zilikuwa na majiji ya eneo lao kutoka katika kabila la Efraimu.+
5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+
66 Na baadhi ya familia za wana wa Kohathi zilikuwa na majiji ya eneo lao kutoka katika kabila la Efraimu.+