Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+

      Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi, kulingana na ukoo wa familia yao.+

  • Hesabu 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na wana wa Merari+ kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+

      Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na nyumba ya baba zao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki