Kutoka 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi, kulingana na ukoo wa familia yao.+ Hesabu 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na wana wa Merari+ kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na nyumba ya baba zao. 1 Mambo ya Nyakati 6:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.
19 Na wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Walawi, kulingana na ukoo wa familia yao.+
20 Na wana wa Merari+ kulingana na familia zao walikuwa Mali+ na Mushi.+ Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na nyumba ya baba zao.
63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.