Kumbukumbu la Torati 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako, Methali 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anapojibu jambo kabla ya kulisikia,+ huo ni upumbavu na aibu kwake.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako,
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+