Hesabu 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+ Mika 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+
12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+
5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+