Yoshua 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+ Yoshua 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba mara ya saba makuhani walipiga pembe, ndipo Yoshua akawaambia watu: “Paazeni sauti;+ kwa maana Yehova amewapa ninyi jiji hili.+
4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+
16 Na ikawa kwamba mara ya saba makuhani walipiga pembe, ndipo Yoshua akawaambia watu: “Paazeni sauti;+ kwa maana Yehova amewapa ninyi jiji hili.+