Yoshua 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.” Waebrania 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka chini baada ya kuzungukwa kwa siku saba.+
5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.”