Yoshua 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na waliovizia wakasimama haraka kutoka mahali pao, nao wakaanza kukimbia mara tu aliponyoosha mkono wake, wakaingia ndani ya jiji na kulikamata.+ Kisha wakafanya haraka na kuliwasha moto jiji hilo.+ Yoshua 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Yoshua akateketeza Ai na kulifanya kuwa kilima kinachodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kuwa ukiwa mpaka leo hii.
19 Na waliovizia wakasimama haraka kutoka mahali pao, nao wakaanza kukimbia mara tu aliponyoosha mkono wake, wakaingia ndani ya jiji na kulikamata.+ Kisha wakafanya haraka na kuliwasha moto jiji hilo.+
28 Kisha Yoshua akateketeza Ai na kulifanya kuwa kilima kinachodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kuwa ukiwa mpaka leo hii.