Yoshua 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na itatukia kwamba mara tu mtakapokuwa mmelikamata jiji, mtaliteketeza jiji kwa moto.+ Mnapaswa kufanya kulingana na neno la Yehova. Angalieni, nimewaamuru ninyi.”+ Yoshua 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Yoshua akateketeza Ai na kulifanya kuwa kilima kinachodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kuwa ukiwa mpaka leo hii.
8 Na itatukia kwamba mara tu mtakapokuwa mmelikamata jiji, mtaliteketeza jiji kwa moto.+ Mnapaswa kufanya kulingana na neno la Yehova. Angalieni, nimewaamuru ninyi.”+
28 Kisha Yoshua akateketeza Ai na kulifanya kuwa kilima kinachodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kuwa ukiwa mpaka leo hii.