Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akawapa, yaani, wana wa Gadi+ na wana wa Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu, ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, nchi ya majiji yake katika maeneo, na majiji ya nchi kuzunguka pande zote.

  • Yoshua 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wakarudi na kwenda zao kutoka kwa wale wana wengine wa Israeli, kutoka Shilo, lililo katika nchi ya Kanaani, ili waende katika nchi ya Gileadi,+ katika nchi ya miliki yao ambamo walikuwa wamepewa makao kwa agizo la Yehova kupitia Musa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki