17 Na kwa hiyo nasema, Nitawatoa katika mateso+ ya Wamisri na kuwapeleka mpaka nchi ya Wakanaani na Wahiti na Waamori+ na Waperizi na Wahivi na Wayebusi,+ mpaka nchi inayotiririka maziwa na asali.”’+
23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+