21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+
2 Nawe unapaswa kulitendea Ai na mfalme wake kama vile ulivyolitendea Yeriko na mfalme wake.+ Lakini mnaweza kupora nyara zake na wanyama wake wa kufugwa kwa ajili yenu wenyewe.+ Weka kikundi cha kulivizia jiji upande wake wa nyuma.”+
29 Naye akamtundika mfalme wa Ai+ juu ya mti mpaka jioni;+ na jua lilipokaribia kutua, Yoshua akatoa amri nao wakachukua maiti yake+ kutoka mtini na kuitupa kwenye mwingilio wa lango la jiji nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.