Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+ Yoshua 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo Yehova akatia Lakishi mkononi mwa Israeli, nao wakaliteka siku ya pili, wakalipiga kwa makali ya upanga na pia kila nafsi iliyokuwa ndani yake,+ kulingana na yote ambayo walikuwa wamelitendea Libna.
16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+
32 Kwa hiyo Yehova akatia Lakishi mkononi mwa Israeli, nao wakaliteka siku ya pili, wakalipiga kwa makali ya upanga na pia kila nafsi iliyokuwa ndani yake,+ kulingana na yote ambayo walikuwa wamelitendea Libna.