9 Na ikawa kwamba mara tu wafalme wote+ waliokuwa ng’ambo ya Yordani iliyo katika eneo lenye milima na katika Shefela na kando ya pwani yote ya ile Bahari Kuu+ na mbele ya Lebanoni,+ Wahiti+ na Waamori, Wakanaani,+ Waperizi,+ Wahivi na Wayebusi,+ waliposikia habari hizo,