7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+
16 Na Yoshua akachukua nchi hiyo yote, eneo lenye milima na Negebu+ yote na nchi yote ya Gosheni+ na Shefela+ na Araba+ na eneo lenye milima la Israeli na Shefela yake,+