Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Musa alipokuwa akiwatuma kuipeleleza nchi ya Kanaani, aliwaambia: “Pandeni hapa na kuingia Negebu,+ nanyi mtapanda na kuingia katika eneo lenye milima.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+

  • Yoshua 10:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na Yoshua akaanza kuipiga nchi yote ya eneo lenye milima+ na Negebu+ na Shefela+ na miteremko+ na wafalme wao wote. Hakuacha mtu yeyote aokoke,+ akaangamiza+ kila kitu kilichopumua, kama vile Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa ameamuru.+

  • Yoshua 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 katika eneo lenye milima na katika Shefela na katika Araba na kwenye miteremko na katika nyika na katika Negebu+—Wahiti, Waamori+ na Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki