Mwanzo 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+ Kutoka 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+ Zaburi 136:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naam, Sihoni mfalme wa Waamori:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
19 Naam, Sihoni mfalme wa Waamori:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+