40 Na Yoshua akaanza kuipiga nchi yote ya eneo lenye milima+ na Negebu+ na Shefela+ na miteremko+ na wafalme wao wote. Hakuacha mtu yeyote aokoke,+ akaangamiza+ kila kitu kilichopumua, kama vile Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa ameamuru.+
16 Na Yoshua akachukua nchi hiyo yote, eneo lenye milima na Negebu+ yote na nchi yote ya Gosheni+ na Shefela+ na Araba+ na eneo lenye milima la Israeli na Shefela yake,+