Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Kumbukumbu la Torati 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao Waavi,+ waliokuwa wakikaa katika makao yaliyoko mpaka Gaza,+ Wakaftori,+ waliotoka Kaftori,+ wakawaangamiza, ili wapate kukaa mahali pao.)
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
23 Nao Waavi,+ waliokuwa wakikaa katika makao yaliyoko mpaka Gaza,+ Wakaftori,+ waliotoka Kaftori,+ wakawaangamiza, ili wapate kukaa mahali pao.)