Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+ Yoshua 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wana wa Israeli wakapora kwa ajili yao wenyewe nyara zote za majiji hayo na wanyama wa kufugwa.+ Walipiga kwa makali ya upanga binadamu wote peke yao, mpaka walipokuwa wamewaangamiza.+ Hawakuacha yeyote anayepumua abaki.+
29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+
14 Na wana wa Israeli wakapora kwa ajili yao wenyewe nyara zote za majiji hayo na wanyama wa kufugwa.+ Walipiga kwa makali ya upanga binadamu wote peke yao, mpaka walipokuwa wamewaangamiza.+ Hawakuacha yeyote anayepumua abaki.+