Hesabu 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+ Kumbukumbu la Torati 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, tuliwaangamiza,+ kama vile tulivyomtendea Sihoni mfalme wa Heshboni, kwa kuangamiza kila jiji, mwanamume, mwanamke na watoto wadogo.+
26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+
6 Hata hivyo, tuliwaangamiza,+ kama vile tulivyomtendea Sihoni mfalme wa Heshboni, kwa kuangamiza kila jiji, mwanamume, mwanamke na watoto wadogo.+