Mambo ya Walawi 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+ Kumbukumbu la Torati 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo na kuangamiza+ kila jiji, wanaume na wanawake na watoto wadogo. Hatukuacha mwokokaji yeyote. Ezekieli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+
25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+
34 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo na kuangamiza+ kila jiji, wanaume na wanawake na watoto wadogo. Hatukuacha mwokokaji yeyote.
6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+