Kutoka 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+ Mambo ya Walawi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Nanyi mtajitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.
10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+