24 Kila mahali ambapo wayo wa mguu wenu utakanyaga patakuwa penu.+ Mpaka wenu utakuwa kutoka nyikani hadi Lebanoni, kutoka ule Mto, mto Efrati, hadi bahari ya magharibi.+
47 Ashdodi,+ miji yake ya kandokando na makao yake; Gaza,+ miji yake ya kandokando na makao yake, hadi kwenye bonde la mto la Misri, na ile Bahari Kuu na eneo jirani.+