Yoshua 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+ Waamuzi 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Midiani+ wote na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ wakakusanyika kama mtu mmoja,+ wakavuka na kupiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Yezreeli.+
33 Na Midiani+ wote na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ wakakusanyika kama mtu mmoja,+ wakavuka na kupiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Yezreeli.+