Mwanzo 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya muda akamzalia Zimrani na Yokshani na Medani na Midiani+ na Ishbaki na Shua.+ Hesabu 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wamidiani na wasumbuliwe, nanyi mtawapiga,+ Waamuzi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao mkono wa Midiani ukawa na nguvu juu ya Israeli.+ Kwa sababu ya Midiani, wana wa Israeli walijifanyia maghala ya chini ya udongo yaliyokuwa katika milima, na mapango na mahali palipo pagumu kufikiwa.+
2 Nao mkono wa Midiani ukawa na nguvu juu ya Israeli.+ Kwa sababu ya Midiani, wana wa Israeli walijifanyia maghala ya chini ya udongo yaliyokuwa katika milima, na mapango na mahali palipo pagumu kufikiwa.+