Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Kutoka 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye Farao akasikia juu ya jambo hilo, naye akajaribu kumuua Musa;+ lakini Musa akakimbia+ toka kwa Farao apate kuishi katika nchi ya Midiani;+ naye akaketi kando ya kisima.

  • Hesabu 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Moabu akawaambia wanaume wazee wa Midiani:+ “Sasa hili kutaniko litaramba mazingira yenu yote kama ng’ombe anavyoramba majani ya shambani.”

      Na Balaki+ mwana wa Sipori alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo hasa.

  • Hesabu 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Lipiza kisasi+ kwa ajili ya wana wa Israeli juu ya Wamidiani.+ Baadaye utakusanywa kwa watu wako.”+

  • Waamuzi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao mkono wa Midiani ukawa na nguvu juu ya Israeli.+ Kwa sababu ya Midiani, wana wa Israeli walijifanyia maghala ya chini ya udongo yaliyokuwa katika milima, na mapango na mahali palipo pagumu kufikiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki