24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, Mwenye Nguvu wa Israeli,+ asema hivi: “Aha! Nitajiondolea wapinzani wangu, nitajilipizia kisasi+ juu ya adui zangu.+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+