Mwanzo 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya muda akamzalia Zimrani na Yokshani na Medani na Midiani+ na Ishbaki na Shua.+ Kutoka 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Musa akawa mchungaji wa kundi la Yethro,+ kuhani wa Midiani, aliyekuwa mwana-mkwe wake.+ Alipokuwa akiliongoza kundi kuelekea upande wa magharibi wa nyika, mwishowe akafika kwenye mlima wa Mungu wa kweli,+ Horebu.+
3 Naye Musa akawa mchungaji wa kundi la Yethro,+ kuhani wa Midiani, aliyekuwa mwana-mkwe wake.+ Alipokuwa akiliongoza kundi kuelekea upande wa magharibi wa nyika, mwishowe akafika kwenye mlima wa Mungu wa kweli,+ Horebu.+