Hesabu 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ukiisha kuiona, ndipo utakusanywa kwa watu wako,+ naam, wewe, kama vile Haruni ndugu yako alivyokusanywa,+ Kumbukumbu la Torati 32:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kisha ufe katika mlima utakaopanda, na kukusanywa kwa watu wako,+ kama vile Haruni ndugu yako alivyokufa katika Mlima Hori+ na kukusanywa kwa watu wake;
13 Ukiisha kuiona, ndipo utakusanywa kwa watu wako,+ naam, wewe, kama vile Haruni ndugu yako alivyokusanywa,+
50 Kisha ufe katika mlima utakaopanda, na kukusanywa kwa watu wako,+ kama vile Haruni ndugu yako alivyokufa katika Mlima Hori+ na kukusanywa kwa watu wake;