17 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kwenda katika majiji ya watu hao siku ya tatu, na majiji yao yalikuwa Gibeoni+ na Kefira+ na Beerothi+ na Kiriath-yearimu.+
4 Basi mfalme akaenda Gibeoni+ ili kutoa dhabihu huko, kwa maana huko ndiko kulikokuwa mahali pa juu pakuu.+ Sulemani akatoa dhabihu elfu moja za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.+