Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nchi itagawanywa kwa kura+ tu. Kulingana na majina ya makabila ya baba zao watapata urithi. Yoshua 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi kwa upande wenu, mtaandika vipimo vya ramani vya nchi katika mafungu saba, nanyi mtayaleta kwangu hapa, nami nitapiga kura+ hapa kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wetu.
6 Nanyi kwa upande wenu, mtaandika vipimo vya ramani vya nchi katika mafungu saba, nanyi mtayaleta kwangu hapa, nami nitapiga kura+ hapa kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wetu.