Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Nchi itagawanywa kwa kura+ tu. Kulingana na majina ya makabila ya baba zao watapata urithi.

  • Hesabu 33:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Nanyi mtaigawa nchi hiyo kwa ajili yenu iwe miliki kwa kura+ kulingana na familia zenu.+ Kwake aliye na hesabu kubwa mtaongeza urithi wake, na kwake aliye mchache mtaupunguza urithi wake.+ Mahali ambapo kura itamtokea, hapo patakuwa pake.+ Kulingana na makabila ya baba zenu mnapaswa kumiliki nchi.+

  • Yoshua 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Urithi wao ulikuwa kwa kura,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru yale makabila tisa na ile nusu ya kabila kupitia kwa Musa.+

  • Methali 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +

  • Matendo 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya kuyaangamiza mataifa saba katika nchi ya Kanaani, aligawanya nchi yao kwa kura:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki