16Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+
11 Ndipo ilitokea kura+ ya kabila la wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, na eneo la kura yao likawa ni kati ya wana wa Yuda+ na wana wa Yosefu.+