Yoshua 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60. 1 Mambo ya Nyakati 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye Segubu akamzaa Yairi,+ aliyekuja kuwa na majiji 23+ katika nchi ya Gileadi.
30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60.