Waamuzi 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa hiyo Waamori wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi na katika Aiyaloni+ na Shaalbimu.+ Lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawa mzito sana hivi kwamba wakalazimishwa kufanya kazi ngumu.+ 1 Wafalme 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 mwana wa Dekeri, kule Makazi na kule Shaalbimu+ na Beth-shemeshi+ na Elon-beth-hanani;
35 Kwa hiyo Waamori wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi na katika Aiyaloni+ na Shaalbimu.+ Lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawa mzito sana hivi kwamba wakalazimishwa kufanya kazi ngumu.+