10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+
13 Na ikawa kwamba wakati wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu,+ wakawaweka Wakanaani wafanye kazi ya kulazimishwa,+ wala hawakuwafukuza kikamilifu.+