Waamuzi 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini wanaume hao hawakutaka kumsikiliza. Basi mtu huyo akamchukua suria+ wake na kumleta kwao nje; nao wakaanza kulala na mwanamke huyo,+ wakaendelea kumtendea vibaya+ usiku wote mpaka asubuhi, kisha wakamwacha aende wakati wa mapambazuko.
25 Lakini wanaume hao hawakutaka kumsikiliza. Basi mtu huyo akamchukua suria+ wake na kumleta kwao nje; nao wakaanza kulala na mwanamke huyo,+ wakaendelea kumtendea vibaya+ usiku wote mpaka asubuhi, kisha wakamwacha aende wakati wa mapambazuko.