-
Waamuzi 20:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Wana wa Benyamini walipotoka kwenda kukutana na wale watu, wakavutwa mbali na jiji.+ Ndipo, kama vile ilivyokuwa zile nyakati nyingine, wakaanza kuwapiga baadhi ya watu, karibu watu 30 katika Israeli,+ waliokuwa na majeraha ya kufisha katika njia kuu, moja ya njia hizo inapanda kwenda Betheli+ na ile nyingine inaenda Gibea,+ shambani.
-