Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Waamuzi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa katika Mispa,+ wakisema: “Hakuna mtu yeyote kati yetu atakayempa Benyamini binti yake awe mke wake.”+ Zaburi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+
21 Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa katika Mispa,+ wakisema: “Hakuna mtu yeyote kati yetu atakayempa Benyamini binti yake awe mke wake.”+
4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+