Waamuzi 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yaeli+ mke wa Heberi Mkeni,+ atabarikiwa zaidi kati ya wanawake,Kati ya wanawake katika mahema atabarikiwa zaidi.+ Waamuzi 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema,Nao mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya mti ya wafanyakazi wenye bidii.+Akampiga Sisera kwa nyundo hiyo, akatoboa kichwa chake,+Akapasua na kukata kipaji cha uso wake. Waamuzi 9:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Kwa hiyo, akamwita haraka mtumishi aliyechukua silaha zake na kumwambia: “Chomoa upanga wako, uniue,+ wasije wakasema juu yangu, ‘Mwanamke ndiye aliyemuua.’” Mara moja mtumishi wake akamchoma, naye akafa.+
24 Yaeli+ mke wa Heberi Mkeni,+ atabarikiwa zaidi kati ya wanawake,Kati ya wanawake katika mahema atabarikiwa zaidi.+
26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema,Nao mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya mti ya wafanyakazi wenye bidii.+Akampiga Sisera kwa nyundo hiyo, akatoboa kichwa chake,+Akapasua na kukata kipaji cha uso wake.
54 Kwa hiyo, akamwita haraka mtumishi aliyechukua silaha zake na kumwambia: “Chomoa upanga wako, uniue,+ wasije wakasema juu yangu, ‘Mwanamke ndiye aliyemuua.’” Mara moja mtumishi wake akamchoma, naye akafa.+