Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+

  • Kumbukumbu la Torati 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 utamtoa nje ya malango yako mwanamume huyo au mwanamke huyo ambaye amefanya jambo hilo baya, naam, mwanamume huyo au mwanamke huyo, nawe utampiga kwa mawe mtu huyo, naye lazima afe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki