Waamuzi 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini wao walichukua vitu ambavyo Mika alikuwa ametengeneza na yule kuhani+ aliyekuwa wake, wakaelekea Laishi,+ juu ya watu watulivu na wasio na shaka.+ Nao wakaanza kuwapiga kwa makali ya upanga,+ wakaliteketeza jiji kwa moto.+ Methali 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa shauri mipango yenyewe hufanywa imara,+ na kwa mwongozo stadi endeleza vita vyako.+
27 Lakini wao walichukua vitu ambavyo Mika alikuwa ametengeneza na yule kuhani+ aliyekuwa wake, wakaelekea Laishi,+ juu ya watu watulivu na wasio na shaka.+ Nao wakaanza kuwapiga kwa makali ya upanga,+ wakaliteketeza jiji kwa moto.+