1Na ikawa kwamba baada ya kifo+ cha Yoshua, wana wa Israeli wakamuuliza+ Yehova, wakisema: “Ni nani kati yetu atakayepanda kwanza kwa Wakanaani ili kupigana nao?”
31 Au ni mfalme gani, anayeenda kukutana na mfalme mwingine vitani, asiyeketi kwanza na kufanya shauri kama anaweza akiwa na askari 10,000 kukabiliana na yule mtu anayekuja juu yake pamoja na 20,000?+