15 Naye Mordekai akatoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme+ ya bluu na kitani, taji kubwa la dhahabu, na kanzu ya kitambaa laini,+ ya sufu iliyotiwa rangi ya zambarau.+ Na jiji la Shushani likapaaza sauti na kushangilia.+
9 Fedha iliyofuliwa ikawa mabamba ndiyo inayoletwa kutoka Tarshishi,+ na dhahabu kutoka Ufazi,+ kazi ya fundi na ya mikono ya fundi wa chuma; mavazi yao ni uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau. Vyote ni kazi ya watu stadi.+
7 Mtando wako wa nguo ulikuwa kitani cha rangi mbalimbali kutoka Misri,+ ili kuwa tanga yako. Uzi wa bluu+ na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau+ kutoka katika visiwa vya Elisha+ ndivyo vilivyofunika sitaha yako.